Michezo ya kufuzu Afcon kuendelea leo

Kikosi cha Taifa la Ghana
Michezo ya kusaka tiketi ya kushiki michuano ya kombe la mataifa ya afrika mwaka 2017 itayofanyika Gabon itaendelea tena leo
Katika kundi A timu ya taifa ya Djibout itakua nyumbani katika uwanja wake wa Djibouty kukipiga na liberia.
Ghana maarufu kama the Black Stars walioko kundi H watakua wenyeji wa timu ya Mozambique wanaofahamika kama Mambas.
Comoros watashuka dimbani kuwakabili Botswana huku Madagascar akipimana ubavu na timu ya taifa ya Jamuhuri ya Africa ya kati.


EmoticonEmoticon